Kiwanja/Barua ya Mauziano ya Shamba ili itunzwe hadi atakapokamilisha kulipia mkopo wake na endapo atashindwa kurejesha mkopo huo atakaopewa kwa wakati kama katiba inavyosema, anakubali kuwajibika kwa kuhakikisha mkopo huo unarejeshwa na kama hatua zote za kufuatilia mkopo huo zitashindikana baada ya ufuatiliaji tulioufanya tutakuwa tayari kuchukua shamba/Kiwanja na kuwa mali ya Kikundi cha WYT.