WYT ni kikundi cha kijamii (SHGs) kilichuondwa na wafanyakazi wa kanisa la AICT MUD, idara ya maendeleo mwaka 2015. Kikundi cha WYT kinatambuliwa na serikali kwa kupitia usajili uliofanyika katika ofisi za Manispaa ya Musoma tarehe 27/05/2015 kwa utambulisho wa barua yenye kumbukumbu namba “Kumb Na. HMM/UT/VK/418”. Ofisi ya kikundi hiki kinapatikana katika jengo la ofisi kuu la kanisa la AICT MUD iliyopo Bweri, Musoma.