sw Swahili en English
Category: Taarifa za Mwaka
Order Files by:
Default | Name | Date | Hits
Files: 3

WYT ni kikundi cha kijamii (SHGs) kilichuondwa na wafanyakazi wa kanisa la AICT MUD, idara ya maendeleo mwaka 2015. Kikundi cha WYT kinatambuliwa na serikali kwa kupitia usajili uliofanyika katika ofisi za Manispaa ya Musoma tarehe 27/05/2015 kwa utambulisho wa barua yenye kumbukumbu namba “Kumb Na. HMM/UT/VK/418”. Ofisi ya kikundi hiki kinapatikana katika jengo la ofisi kuu la kanisa la AICT MUD iliyopo Bweri, Musoma.

Information
Category Taarifa za Mwaka
Created 2020-02-14
Changed 2020-02-14
Version
Size 2.04 MB
System
Downloads 454

Kikundi cha Walk Your Talk kilianzishwa January 2015 na wafanyakazi wa AICT MUD idara ya maendeleo kikiwa na wanachama waanzilishi 13. Malengo makuu ya kuanzishwa kwa kikundi hiki yalikuwa ni kuboresha maisha ya wanakikundi kwa kuwawezesha kuweka akiba na kukopa, kuendesha shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijamii kwa juhudi na maarifa pamoja na kushiriki masuala ya kijamii na kusaidia jamii katika masuala mbalimbali ya kiuchumi na kijamii.

Information
Category Taarifa za Mwaka
Created 2020-02-14
Changed
Version
Size 841.81 KB
System
Downloads 1,128

Mkutano ulifunguliwa na mwenyekiti saa Tatu Kamili Asubuhi (09:00 am) kwa kumkaribisha ndugu Justine Jumanne kuomba ombi la ufunguzi. Baada ya ombi la ufunguzi mwenyekiti aliwakaribisha wajumbe wote kwenye mkutano na kuwaomba wawe huru kuchangia mawazo yao kwa lengo la kuboresha kikundi.

Information
Category Taarifa za Mwaka
Created 2020-02-14
Changed
Version
Size 1.38 MB
System
Downloads 229